OUTREACH AT MVOMERO DISTRICT HOSPITAL

Monday 6th, May 2024
@MVOMERO DISTRICT HOSPITAL

Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Morogoro,imepanga kufanya huduma ya mkoba(OUTREACH) katika Hospitali ya Wilaya ya Mvomero kuanzia Tarehe 19 hadi 21 Julai,2023.Muda saa 2 hadi 10 jioni. Nyote mnakaribishwa.