All Clinics

wagonjwa wa macho hupata huduma za kuima magonjwa mbalimbali ya machwa na kupatiwa huduma kama za miwani na matibabu mengeineyo 

Huduma za matibabu ya Ngozi

Akina mama na akina baba wanapata huduma  za uzazi

wagonjwahupatiwa huduma za kupima magonjwa ya ndani kama kisukari, na shinikizo la damu pia huduma za afya ya akili

huduma zinazopatikanani za upasuaji wa magonjwa ya ndani pamoja na upasuaji wa mfupa