Huduma ya CT-SCAN sasa inapatikana
Posted on: September 28th, 2022
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Morogoro sasa inatoa huduma ya CT-SCAN karibuni sana kwa huduma bora na ya viwango vya juu, tuko tayari kukuhudumia.
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Morogoro sasa inatoa huduma ya CT-SCAN karibuni sana kwa huduma bora na ya viwango vya juu, tuko tayari kukuhudumia.